Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Akawaambia tena: “Nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba, mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.

Gade chapit la Kopi




Marko 6:10
7 Referans Kwoze  

Kisha yeye na watu wa nyumba yake wakabatizwa. Naye akatusihi akisema: “Ikiwa munakubali kweli kwamba ninamwamini Bwana, basi mufike mupange ndani ya nyumba yangu.” Akatulazimisha tuitike.


Na nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.


Muvae viatu lakini musivae kanzu mbili.”


Na nafasi yoyote watu watakapokataa kuwakaribisha na kuwasikiliza, mutoke kule na mukungute mavumbi toka juu ya miguu yenu. Jambo hili litakuwa ushuhuda juu yao.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite