Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, akaenda mbio na kumupigia magoti

Gade chapit la Kopi




Marko 5:6
7 Referans Kwoze  

Si wewe unaamini kwamba kuna Mungu mumoja? Ni vizuri! Hata pepo wanaamini vile, nao wanatetemeka kwa woga.


Pepo wakatoka ndani ya watu wengi, wakilalamika, wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu!” Lakini Yesu akawakaripia, na hakuwaachilia waseme neno, kwa sababu walijua kwamba yeye ndiye Kristo.


Mumwambie Mungu: “Matendo yako ni ya ajabu! Kwa nguvu yako kubwa waadui zako wanaishiwa nguvu.


Mwanamuke yule akaendelea kumufuata Paulo na sisi, akilalamika akisema: “Watu hawa ni watumishi wa Mungu Mukubwa. Wanawatangazia ninyi namna gani munavyoweza kuokolewa.”


Waadui zake wanaokaa katika jangwa wanyenyekee mbele yake, wapinzani wake walambule vumbi.


Saa zote, usiku na muchana alitangatanga katikati ya makaburi na kwenye milima, akilalamika na kujiumizaumiza kwa mawe.


na kulalamika kwa nguvu, akisema: “Yesu, Mwana wa Mungu Mukubwa, kuna neno kati yako na mimi? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite