Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 5:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Wanafunzi wake wakamujibu: “Hauoni namna watu wanavyokusongasonga? Namna gani unauliza kwamba ni nani aliyekugusa?”

Gade chapit la Kopi




Marko 5:31
5 Referans Kwoze  

Yesu akauliza: “Ni nani aliyenigusa?” Watu wote wakakana, lakini Petro akasema: “Bwana, hauoni kwamba watu wengi wanakuzunguka na kukusonga?”


Jua lilipoanza kushuka, wanafunzi kumi na wawili wa Yesu wakamufikia na kumwambia: “Hapa tunapokuwa ni katika pori. Uage makundi haya ya watu kusudi waende katika vijiji vinavyokuwa hapa karibu na kwenye nyumba kule katika mbuga kwa kujitafutia chakula na nafasi ya kulala.”


Basi Yesu akaenda pamoja naye. Watu wengi walimufuata na kumusongasonga.


Na mara moja Yesu akatambua kama nguvu zilitoka ndani yake. Basi akageuka kati ya kundi na kuuliza: “Ni nani aliyegusa nguo yangu?”


Lakini Yesu akaangalia pande zake zote kusudi amwone yule aliyefanya vile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite