Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 5:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Yesu hakumuruhusu, lakini akamwambia: “Kwenda kwako kwenye jamaa yako, na uwaelezee mambo Bwana aliyokutendea na namna alivyokuhurumia.”

Gade chapit la Kopi




Marko 5:19
12 Referans Kwoze  

Enyi munaomwabudu Mungu, mukuje wote musikilize, nami nitawaelezea mambo aliyonitendea.


“Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”


“Rudia kwako na ueleze mambo yote Mungu aliyokutendea.” Basi yule mutu akajiendea, na kutangaza fasi zote katika muji wake mambo Yesu aliyomutendea.


Basi yule mutu akajiendea, akaanza kutangaza mambo yote Yesu aliyomutendea katika inchi ya Miji Kumi. Na watu wote waliomusikia wakashangaa sana.


Namani alipopata habari hii, akaenda kwa mufalme na kumwelezea habari za mutoto yule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite