Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 5:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Akazidi kumusihi Yesu kwamba asiwatoshe wale pepo katika inchi ile.

Gade chapit la Kopi




Marko 5:10
4 Referans Kwoze  

Walimu wa Sheria waliotoka Yerusalema, wakasema hivi juu ya Yesu: “Amepatwa na Belzebuli.” Na wengine wao wakasema: “Ni huyo mukubwa wa pepo ndiye anayemupa uwezo wa kufukuza pepo.”


Yesu akawaruhusu. Halafu wale pepo wakatoka ndani ya mutu yule na kuingia ndani ya nguruwe. Kundi zima la nguruwe, karibu elfu mbili, wakatelemuka mbio kwenye mulima na kutumbukia ndani ya ziwa, nao wakazama ndani ya maji.


Basi Yesu akamwuliza: “Jina lako nani?” Naye akamujibu: “Jina langu ni ‘Jeshi’, maana sisi ni wengi.”


Na pale karibu na mulima kulikuwa kundi kubwa la nguruwe wakijitafutia chakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite