Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha akawaambia: “Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”

Gade chapit la Kopi




Marko 4:9
15 Referans Kwoze  

Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.”


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”


Kisha Yesu akaita kundi la watu na kuwaambia: “Musikilize na kuelewa maneno nitakayowaambia.


Basi mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


“Musikilize! Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Lakini mbegu zingine zikaanguka katika udongo muzuri, mimea ikaota, ikakomaa na kuzaa matunda: zimoja zikazaa punje makumi tatu, zingine makumi sita na zingine punje mia moja.”


Wanafunzi kumi na wawili wa Yesu pamoja na watu waliokuwa pembeni yake walipokuwa peke yao, wakamwuliza awaelezee maana ya mifano ile.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoambia makanisa! “Yule atakayeshinda hatapatwa na kifo cha pili.


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie.]”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite