Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Yesu akasema tena: “Tufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tuulinganishe na mufano gani?

Gade chapit la Kopi




Marko 4:30
6 Referans Kwoze  

Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.


Nikuambie nini, ee Yerusalema? Nikulinganishe na nini? Nikufananishe na kitu gani kusudi niweze kukufariji, ee Sayuni uliyekuwa muzuri? Maangamizi yako ni mengi kama bahari, ni nani atakayekuponyesha?


“Nitawafananisha watu wa kizazi hiki na nini? Wanafanana na watoto wanaoikaa kwenye nafasi ya makutano na kuita wenzao wakisema:


Unafanana na mbegu ya haradali. Inapopandwa katika udongo ni ndogo sana kuliko mbegu zote za dunia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite