Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 “Musikilize! Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.

Gade chapit la Kopi




Marko 4:3
29 Referans Kwoze  

Wandugu zangu wapenzi, musikilize: Mungu amewachagua wamasikini wa dunia hii kusudi wakuwe watajiri katika imani, nao wapokee Ufalme ule aliowaahidi wale wanaomupenda.


Ngano ilipoota na kutoa masuke, nyasi zikaonekana vilevile.


Musa akaendelea kusema: “Mushike basi na kufuata masharti na maagizo niliyowafundisha, kusudi mupate kuishi na kurizi inchi ambayo Yawe, Mungu wa babu zenu, anawapa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoambia makanisa! “Yule atakayeshinda hatapatwa na kifo cha pili.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


Basi Petro akasimama pamoja na wale mitume wengine kumi na mumoja na kuanza kusema kwa sauti kubwa mbele ya watu: “Ninyi Wayuda, nanyi wote munaokaa Yerusalema, musikilize vizuri, mutege sikio kwa maneno nitakayowaambia.


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Mupandaji anapanda Neno la Mungu.


Kisha akawaambia: “Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.


Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Musikilize, enyi wenye vichwa vigumu, munisikilize enyi munaokuwa mbali na ukombozi.


Musikilize, enyi wazao wa Yakobo, munisikilize, enyi mabaki ya watu wangu wa Israeli. Mimi niliwatunza ninyi tangu mulipozaliwa; niliwabeba ninyi tangu katika tumbo la mama yenu.


Panda mbegu asubui na usiache kupanda mpaka magaribi, maana, haujui mbegu gani zitaota; za asubui, za magaribi, au zote zitakuwa nzuri.


“Sasa basi, wana wangu, munisikilize: heri wale wanaofuata njia zangu.


Sasa wana wangu, munisikilize; mutege sikio kwa maneno ya kinywa changu.


Wabinti za wafalme ni kati ya wanaokupokea, naye malkia amesimama kwa kuume kwako, amevaa mapambo ya zahabu safi kabisa ya Ofiri.


Hata simba wakali wanakosewa na kusikia njaa, lakini wanaomutafuta Yawe hawakosewi chochote kizuri.


Yesu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano. Yeye akawaambia hivi katika mafundisho yake:


Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba, zimoja zikaanguka pembeni ya njia, nao ndege wakakuja na kuzikula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite