Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Wakati ngano zinapokomaa, mutu anazivuna, kwa maana ni wakati wa mavuno.”

Gade chapit la Kopi




Marko 4:29
9 Referans Kwoze  

Muviache vyote viwili vikomae pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati ule nitawaambia wavunaji: muongoe kwanza nyasi, nanyi muzilundike kwa mafungu mafungu kwa kuzichoma, na kisha mukusanye ngano na kuweka mavuno ndani ya gala yangu.’ ”


Utashuka katika kaburi ukiwa na miaka yenye kutimia, kama vile muganda wa ngano uliokomaa vizuri.


Udongo wenyewe unaotesha mimea; kwanza majani, halafu masuke na kisha ngano zinazokomaa ndani ya masuke.


Kisha kukatokea malaika mwingine mwenye uwezo wa kuamuru moto, akatoka kwenye mazabahu, akamwambia kwa sauti kubwa yule aliyekuwa na kisu kikali cha kuvuna: “Nyoosha kisu chako, ukate matunda ya mizabibu yanayokuwa katika dunia kwa maana zabibu zimekomaa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite