Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Yesu akaendelea kusema: “Ufalme wa Mungu unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu katika shamba lake.

Gade chapit la Kopi




Marko 4:26
24 Referans Kwoze  

Yesu akawaambia mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mutu mumoja aliyepanda mbegu nzuri ya ngano katika shamba lake.


“Basi hii ndiyo maana ya ule mufano wa mupandaji: mbegu ni mufano wa neno la Mungu.


“Mupandaji mumoja alikwenda kupanda mbegu. Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia. Watu wakazikanyagakanyaga na ndege wakazikula.


Na tunda la haki linapandwa katika amani na wale wanaopenda amani.


Kweli, kweli, ninawaambia: punje ya ngano inabaki peke yake tu, isipokuwa kama yenye kufa na kuzikwa ndani ya udongo. Lakini kama ikiwa yenye kufa, inatoa matunda mengi.


Lakini heri yenu ninyi: mutapanda mbegu zenu popote penye maji, ngombe na punda wenu watatembeatembea namna wanavyotaka.


Panda mbegu asubui na usiache kupanda mpaka magaribi, maana, haujui mbegu gani zitaota; za asubui, za magaribi, au zote zitakuwa nzuri.


Anayechunguza upepo hatapanda mbegu, anayeangalia mawingu yatoweke, hatavuna kitu.


Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.


Yesu akasema tena: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?


Yesu akawaambia tena mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate hata yote ikapata kuvimba.”


Yesu akawaambia mufano mwingine akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali mutu mumoja aliyoitwaa na kuipanda katika shamba lake.


Akawajibu: “Ninyi mumefunuliwa kujua siri ya Ufalme wa mbinguni, lakini kwao si vile.


Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Tangia wakati huo Yesu akaanza kuhubiri, akisema: “Mugeuke toka zambi zenu, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia!”


akisema: “Mugeuke toka zambi zenu, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia!”


Kwa maana anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine; lakini asiyekuwa na kitu, ataondolewa hata kidogo anachokuwa nacho.”


Kila siku alilala na kuamuka na mbegu ziliota na kukomaa. Lakini hakujua namna gani mbegu zilivyoota.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite