Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yesu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano. Yeye akawaambia hivi katika mafundisho yake:

Gade chapit la Kopi




Marko 4:2
15 Referans Kwoze  

Yesu akawajibu: “Ninyi mumefunuliwa kujua siri ya Ufalme wa Mungu, lakini watu wengine wanaokuwa inje ya kikundi chenu wanasikia mambo yote kwa njia ya mifano,


Basi Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano akisema: “Namna gani Shetani anaweza kujifukuza mwenyewe?


Wanafunzi wa Yesu wakamwendea na kumwuliza: “Kwa sababu gani unasema na watu hawa ukitumia mifano?”


Halafu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano, akasema: “Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Katika mafundisho yake aliwaambia: “Mujiepushe na walimu wa Sheria, wanaopenda kujitembeza wakivaa kanzu ndefu, na kusalimiwa kwa heshima kwenye nafasi ya makutano.


Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, makundi ya watu wakashangaa sana kwa kuona namna alivyowafundisha;


Nitasema nanyi kwa mafumbo, nitasema mambo yaliyofichwa tangu zamani;


Maneno yangu ni mazitomazito; mawazo yangu ni ya hekima.


Kuhani Mukubwa akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na juu ya mafundisho yake.


“Musikilize! Mutu mumoja alikwenda kupanda mbegu.


Yesu akaondoka kule, akaenda katika jimbo la Yudea na kuvuka ngambo ingine ya Yordani. Na makundi mengi ya watu wakakusanyika tena mbele yake, naye akaanza kuwafundisha, kama vile alivyozoea kufanya.


Kisha Yesu akaanza kusema maneno haya kwa wale wakubwa kwa njia ya mifano: “Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha na upango, akatengeneza nafasi ya kukamulia matunda ya mizabibu na kujenga munara kwa ajili ya walinzi wa shamba. Kisha akalipangisha kwa walimaji, akaenda safari katika inchi ingine.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite