Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 3:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kisha akawauliza: “Sheria inaturuhusu kufanya mema au kufanya mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?” Lakini wakakaa kimya.

Gade chapit la Kopi




Marko 3:4
9 Referans Kwoze  

Kisha Yesu akawaambia: “Ninawauliza: Sheria inaturuhusu kufanya mema au mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?”


Lakini wakanyamaza, kwa sababu walikuwa wakibishana katika njia kwamba nani anayekuwa mukubwa kati yao.


Maana kitu ninachotaka kwenu ni wema na si sadaka, kumujua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa kwa moto.


Halafu Yesu akamwambia yule mwenye mukono unaokauka: “Simama hapa katikati.”


Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite