Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 3:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Kisha akawaangalia watu waliomuzunguka, na kusema: “Mama yangu na wandugu zangu, ni hawa wanaoikaa hapa.

Gade chapit la Kopi




Marko 3:34
12 Referans Kwoze  

Kwa maana wale Mungu aliowachagua tangu zamani, ndio aliofanya mupango juu yao tangu zamani, apate kuwafananisha na Mwana wake, kusudi Mwana wake akuwe muzaliwa wa kwanza wa wandugu wengi.


Yesu akamwambia: “Usinishike, kwa sababu sijapanda bado kwa Baba. Lakini kwenda kwa wandugu zangu na kuwaambia kwamba ninapanda kwa Baba yangu anayekuwa Baba yenu vilevile, anayekuwa Mungu wangu na Mungu wenu vilevile.”


Kisha Yesu akawaambia: “Musiogope, muende kuwaambia wandugu zangu waende Galilaya, na kule wataniona.”


Uniokoe toka kinywa cha simba; uokoe nafsi yangu zaifu toka pembe za mbogo hao.


Yesu akawajibu: “Nani ndiye mama yangu, na nani ndio wandugu zangu?”


Naye alishangaa sana kwa sababu ya kutokuamini kwa watu wale. Kisha Yesu akazunguka katika vijiji vya kandokando akiwafundisha watu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite