Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 3:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Yesu akawajibu: “Nani ndiye mama yangu, na nani ndio wandugu zangu?”

Gade chapit la Kopi




Marko 3:33
9 Referans Kwoze  

Huyu si yule museremala, mwana wa Maria, ndugu ya Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Nao wadada zake, si wanaishi hapa kati yetu?” Na kwa hiyo wakakosa kumwaminia.


Wandugu zake za jamaa waliposikia maneno haya, wakaondoka kwenda kumutwaa, kwa maana walisema kwamba amepotelewa na akili.


Walawi waliacha wazazi wao, wakawasahau wandugu zao, hawakuwatambua hata watoto wao, maana walifuata amri zako, na kushika agano lako.


Kwa hiyo basi, tangu sasa hatumuhesabu tena mutu yeyote kufuatana na hali ya kimutu. Hata ikiwa tulimuhesabu Kristo kufuatana na hali ya kimutu, kwa sasa hatumuhesabu tena kufuatana na hali ile.


Lakini Yesu akamujibu: “Mama, kuna maneno gani kati yako nami? Saa yangu haijatimia bado.”


Yesu akawajibu: “Kwa nini mulinitafuta? Hamujui kwamba ninapaswa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”


Kundi kubwa la watu waliikaa, wakizunguka Yesu. Halafu wakamwambia: “Mama yako na wandugu zako wako inje, wanakutafuta.”


Kisha akawaangalia watu waliomuzunguka, na kusema: “Mama yangu na wandugu zangu, ni hawa wanaoikaa hapa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite