Marko 3:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Gade chapit la |
Sasa ilitokea kwamba kule Gilgali kulikuwa mutu mumoja wa ovyoovyo anayeitwa Seba mwana wa Bikiri, wa kabila la Benjamina. Basi Seba alipiga baragumu, na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi; hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese. Enyi watu wa Israeli, kila mumoja ajiendee katika hema yake!”