Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 “Namna gani mutu huyu anasubutu kumutukana Mungu? Ni nani anayeweza kusamehe zambi isipokuwa Mungu peke yake?”

Gade chapit la Kopi




Marko 2:7
15 Referans Kwoze  

Lakini mimi ndiye niliyefuta makosa yenu kwa heshima yangu, ndiye ninayefuta makosa kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka zambi zenu.


Walimu wa Sheria na Wafarisayo wakaanza kujiuliza: “Ni mutu gani huyu anayemutukana Mungu? Ni nani anayeweza kusamehe zambi, isipokuwa Mungu peke yake?”


Ee Mungu, ni nani anayekuwa kama wewe? Wewe unasemehe zambi za watu wako waliobaki, wala hauyaangalii makosa yao. Hasira yako haidumu milele, lakini unapendelea zaidi kutuonyesha wema wako.


Wewe, Bwana Mungu wetu, una huruma na musamaha, ingawa sisi tumekuasi.


Na waalikwa wengine waliokuwa wakikula pamoja na Yesu, wakaanza kujisemesha: “Ni mutu gani huyu anayesamehe zambi?”


Lakini kwako tunapata usamehe, kusudi sisi tukuheshimu.


Nani anayeweza kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.


Wayuda wakamujibu: “Hatutaki kukutupia mawe kwa ajili ya tendo zuri, lakini kwa sababu unamutukana Mungu. Wewe ni mutu tu, lakini unajifanya kuwa Mungu!”


Mumesikia wenyewe jinsi alivyomutukana Mungu. Munawaza nini?” Wote wakamuhukumu kwamba anastahili kufa.


Halafu Kuhani Mukubwa akapasua nguo zake na kusema: “Mutu huyu amemutukana Mungu! Hatuhitaji tena ushuhuda wowote juu yake. Angalia, munatoka kusikia jinsi alivyomutukana Mungu.


Halafu walimu wamoja wa Sheria waliokuwa pale wakajisemesha: “Mutu huyu anamutukana Mungu!”


Kwa upande wangu, nilichaguliwa na Mungu na kutumwa naye katika dunia. Basi namna gani munasema kwamba ninamutukana Mungu kwa sababu nilisema kwamba mimi ni Mwana wa Mungu?


Walimu wamoja wa Sheria walioikaa pale wakajiuliza:


Mara moja Yesu akitambua mafikiri yao, akawauliza: “Sababu gani munajiuliza mambo hayo yote?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite