Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 2:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba wanaoalikwa kwa arusi wanaweza kujizuiza kula chakula cha karamu wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Wakati bwana-arusi angali pamoja nao hawawezi kujizuiza kula.

Gade chapit la Kopi




Marko 2:19
8 Referans Kwoze  

Basi, Labani akafanya karamu na kuwaalika watu wote wa kule.


Kuna malkia makumi sita, wahabara makumi nane, na wabinti wasiohesabika!


Binti wa mufalme anaingia, naye ni muzuri kabisa! Nguo yake imefumwa na nyuzi za zahabu.


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Wanafunzi wa Yoane Mubatizaji na Wafarisayo walikuwa wakifunga kula chakula. Hivi watu wakakuja kumwuliza Yesu: “Sababu gani wanafunzi wa Yoane Mubatizaji na wanafunzi wa Wafarisayo wanafunga kula chakula, lakini wanafunzi wako hawafungi?”


Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni katika siku zile ndipo watafunga kula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite