Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 “Ninakuamuru, simama, utwae kipoyi chako na uende kwako!”

Gade chapit la Kopi




Marko 2:11
5 Referans Kwoze  

Yesu akamusikilia huruma, akanyoosha mukono, akamugusa na kumwambia: “Ninataka utakaswe!”


Roho ndiye anayeleta uzima; mwili hauwezi kufaa kitu. Maneno haya niliyosema nanyi, ndiyo Roho na uzima.


Basi, ninataka mujue kwamba Mwana wa Mutu yuko na mamlaka ya kusamehe zambi hapa katika dunia.” Kwa hiyo akamwambia yule mutu mwenye kupooza:


Na watu wote walipokuwa wakimwangalia mutu yule, pale pale akasimama, akatwaa kipoyi chake na kujiendea. Wote wakashangaa, wakamusifu Mungu, wakisema: “Hatujaona mambo kama haya hata mara moja!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite