Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Basi, ninataka mujue kwamba Mwana wa Mutu yuko na mamlaka ya kusamehe zambi hapa katika dunia.” Kwa hiyo akamwambia yule mutu mwenye kupooza:

Gade chapit la Kopi




Marko 2:10
8 Referans Kwoze  

Yesu alipofika pande za muji Kaisaria Filipi, akawauliza wanafunzi wake: “Watu wanasema kwamba Mwana wa Mutu ni nani?”


Mungu alimupa utukufu na kumwikalisha na mamlaka karibu naye na kumuweka kuwa Mutawala na Mwokozi. Na hivi Waisraeli wataweza kugeuka toka zambi zao na Mungu atawasamehe.


Kitu gani kinachokuwa chepesi: kumwambia mutu mwenye kupooza ‘Zambi zako zimesamehewa’ au kumwambia ‘Simama, utwae kipoyi chako na utembee?’


“Ninakuamuru, simama, utwae kipoyi chako na uende kwako!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite