Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Nyuma ya siku chache, Yesu akarudi Kapernaumu, na watu wakasikia kwamba yuko ndani ya nyumba.

Gade chapit la Kopi




Marko 2:1
13 Referans Kwoze  

Wakati aliposikia kwamba Yesu amefika Galilaya toka Yudea, mukubwa huyu akamwendea, akamusihi aende Kapernaumu kumuponyesha mwana wake, aliyekuwa karibu kufa.


Kisha Yesu akaondoka pale, na kwenda katika jimbo lililokuwa karibu na muji Tiro. Akaingia ndani ya nyumba, naye hakutaka mutu ajue kwamba yuko mule, lakini haikuwezekana kwake kujificha.


Watu wamoja wakakuja wakimubeba mutu aliyepooza juu ya kipoyi. Wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ya nyumba kusudi wamuweke mbele ya Yesu.


Lakini mutu yule alipoenda, akaanza kutangaza habari zile fasi zote. Na kwa sababu hii Yesu hakuweza kuingia tena waziwazi katika muji wowote, lakini alibaki mbali nayo pahali penye ukiwa. Na watu walimufikia kule kutoka pande zote.


Yesu akaingia katika chombo akavuka tena ziwa kwenda upande wa magaribi, naye akafika katika muji wake.


Wakati waliposikia ile fujo, wakakusanyika kwa uwingi. Wote wakapigwa na mushangao, kwa sababu kila mumoja wao aliwasikia waamini wakisema katika luga yake ya kuzaliwa.


Yeye akatoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu, pembeni ya ziwa la Galilaya, katika wilaya ya Zebuluni na ya Nafutali, kusudi yatimie


Watu wengi wakakusanyika pale mpaka hapakukuwa tena nafasi ndani ya nyumba, hata inje mbele ya mulango. Yesu alipokuwa akiwahubiri Neno la Mungu,


Kisha Yesu akarudi kwenye nyumba. Kundi kubwa la watu wakakusanyika tena hata Yesu na wanafunzi wake hawakupata wakati wa kula.


Wakati Yesu alipoachana na kundi na kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza maana ya mufano ule.


Yesu alipokwisha kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza hivi wakiwa peke yao: “Sababu gani sisi hatukuweza kumufukuza yule pepo?”


Yesu akawaambia: “Hakika mutaniambia fumbo hili: ‘Muganga, ujiponyeshe wewe mwenyewe!’ Na vilevile mutaniambia hivi: ‘Tumesikia mambo yote uliyotenda katika muji Kapernaumu, basi uyafanye hapa vilevile katika muji wako.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite