Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nao walienda wakiulizana: “Ni nani atakayetusukumia lile jiwe kutoka kwenye kiingilio cha kaburi?”

Gade chapit la Kopi




Marko 16:3
5 Referans Kwoze  

Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wakati jua lilipoanza kutokea, wakaenda kwenye kaburi.


Lakini walipoinua macho, wakaona kwamba lile jiwe lilikuwa limekwisha kusukumwa pembeni. (Jiwe lile lilikuwa kubwa sana.)


Siku ya kwanza ya juma asubui mapema, kulipokuwa kungali giza, Maria wa Magdala akaenda kwenye kaburi. Alipofika kule akaona kama jiwe lililofunika kaburi limeondolewa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite