Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 16:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wakati jua lilipoanza kutokea, wakaenda kwenye kaburi.

Gade chapit la Kopi




Marko 16:2
6 Referans Kwoze  

Siku ya kwanza ya juma asubui mapema, kulipokuwa kungali giza, Maria wa Magdala akaenda kwenye kaburi. Alipofika kule akaona kama jiwe lililofunika kaburi limeondolewa.


Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wale wanawake wakaenda kwenye kaburi, nao walibeba yale mafuta waliyotengeneza.


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, kesho yake siku ya kwanza ya juma, kwa wakati wa mapambazuko, Maria wa Magdala na Maria mwingine wakaenda kuangalia kaburi.


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, Maria wa Magdala, na Maria mama ya Yakobo, na mwanamuke mwingine Salome, walinunua marasi kusudi waende kupakaa maiti ya Yesu.


Nao walienda wakiulizana: “Ni nani atakayetusukumia lile jiwe kutoka kwenye kiingilio cha kaburi?”


Kisha mufalme akarudi katika nyumba yake ya kifalme ambamo alikesha akifunga kula chakula wala hakupenda kufarijiwa na kitu chochote na hata usiku ule hakupata usingizi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite