Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu wakamwendea Pilato, wakaanza kumwomba awatendee kama ilivyokuwa desturi yake.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:8
5 Referans Kwoze  

Kila sikukuu ya Pasaka, liwali alikuwa na desturi ya kuwafungulia watu mufungwa mumoja wanayemutaka.


Yesu akaondoka kule, akaenda katika jimbo la Yudea na kuvuka ngambo ingine ya Yordani. Na makundi mengi ya watu wakakusanyika tena mbele yake, naye akaanza kuwafundisha, kama vile alivyozoea kufanya.


Kulikuwa mufungwa mumoja, jina lake Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi wamoja kwa sababu ya uuaji na uasi walioufanya.


Pilato akawajibu, akiwauliza: “Munataka niwafungulie ‘Mufalme wa Wayuda?’ ”


Mutamuweka nyama yule mpaka siku ya kumi na ine ya mwezi huu. Siku hiyo, Waisraeli watawachinja nyama wale wakati wa magaribi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite