Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Kulikuwa wanawake wamoja walioangalia kwa mbali. Kati yao kulikuwa Maria wa Magdala, Maria mama ya kijana Yakobo na Yose na mwanamuke mwingine Salome.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:40
18 Referans Kwoze  

Na wote waliojuana sana naye, na hata wanawake waliomufuata tangia Galilaya, walisimama kwa mbali wakiangalia mambo hayo.


Yesu alipokwisha kufufuka asubui mapema, siku ya kwanza ya juma, alimutokea kwanza Maria wa Magdala, yule aliyefukuza pepo saba toka ndani yake.


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, kesho yake siku ya kwanza ya juma, kwa wakati wa mapambazuko, Maria wa Magdala na Maria mwingine wakaenda kuangalia kaburi.


Maria wa Magdala na yule Maria mwingine walikuwa wakiikaa pale, kuelekea kwenye kaburi.


Huyu si mwana wa yule seremala? Mama yake si Maria? Nao Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda si wandugu zake?


Au sina haki ya kusafiri pamoja na mwanamuke mukristo kama vile mitume wengine wanavyofanya, nao wandugu za Bwana na hata Petro?


Maria wa Magdala na Maria mama ya Yose walikuwa wakiangalia, pahali walipomuzika Yesu.


Moyo wangu unapigapiga, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.


Barua hii inatoka kwangu mimi Yakobo, mutumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo. Ninawasalimia ninyi watu wa makabila kumi na mawili waliosambazwa katika dunia.


Sikumwona mutu mwingine isipokuwa tu Yakobo, ndugu ya Bwana.


kisha Filipo na Bartolomayo, Toma na Matayo aliyekuwa mulipishaji wa kodi; Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo;


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, Maria wa Magdala, na Maria mama ya Yakobo, na mwanamuke mwingine Salome, walinunua marasi kusudi waende kupakaa maiti ya Yesu.


Alitaka kuona Yesu ni nani, lakini kwa vile alivyokuwa mutu mufupi, hakuweza kumwona kwa sababu watu walikuwa wengi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite