Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:37
5 Referans Kwoze  

Wakati Yesu alipokwisha kumeza ile divai, akasema: “Yote yametimilika!” Kisha akainamisha kichwa na kukata roho.


Yesu akalalamika kwa sauti kubwa akisema: “Baba, ninatoa uzima wangu kwako.” Kisha kusema maneno haya, akakata roho.


Lakini Yesu, akalalamika tena kwa sauti kubwa na kukata roho.


Na mumoja wao akaenda mbio, akachovya kikausho ndani ya divai yenye kuchacha na kukifungia juu ya tete. Kisha akakipandishia Yesu, kusudi apate kunywa, akisema: “Mwache tuone kama Elia atakuja kumushusha juu ya musalaba.”


Wakati Yesu alipoishi katika dunia, aliomba na kusihi kwa malalamiko makubwa pamoja na kutoa machozi kwa Mungu ambaye angeweza kumwokoa toka katika kifo. Mungu alimusikia Yesu kwa sababu yeye alimuheshimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite