33 Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Ilikuwa saa tatu ya asubui wakati walipomutundika juu ya musalaba.
Mungu akaleta giza juu ya inchi; lakini Wamisri wakakataa kutii amri zake.
Basi wakaenda. Mwenye shamba akatoka tena na saa sita, kisha na saa tisa, akafanya sawasawa mbele.