Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Nao wakubwa wa makuhani wakamushitaki Yesu juu ya mambo mengi.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:3
11 Referans Kwoze  

Alionewa na kuteswa, lakini alivumilia kwa unyenyekevu, bila kutoa sauti hata kidogo. Alikuwa kama mwana-kondoo anayepelekwa kwenda kuchinjwa, kama kondoo anavyokaa kimya anapokatwa manyoya. Hakutoa sauti hata kidogo.


Tokea saa ile Pilato alitafuta njia ya kumufungua Yesu. Lakini Wayuda wakapiga kelele, wakisema: “Ukimufungua mutu huyu, wewe si rafiki wa Mufalme wa Roma. Kila mutu anayejifanya kuwa mufalme, anamupinga Mufalme wa Roma!”


Lakini Yesu hakujibu neno lolote tena, hata Pilato akashangaa.


Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,


Pilato akamwuliza Yesu: “Wewe ni Mufalme wa Wayuda?” Yesu akamujibu: “Umesema.”


Basi Pilato akamwuliza tena: “Wewe haujibu hata neno? Angalia mambo haya yote wanayokushitakia!”


Lakini mimi nimekuwa kama kiziwi, sisikii; nimekuwa kama bubu asiyeweza kusema kitu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite