Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Ilikuwa saa tatu ya asubui wakati walipomutundika juu ya musalaba.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:25
6 Referans Kwoze  

Siku ile ilikuwa siku ya matayarisho ya Pasaka, karibu na saa sita. Pilato akawaambia Wayuda: “Mufalme wenu huyu!”


Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Watu hawa si walevi kama munavyozani, kwa sababu ingali tu saa tatu ya asubui.


Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite