23 Wakamupa divai iliyochanganywa na manemane, lakini akaikataa.
wakamupa Yesu divai iliyochanganywa na kinywaji chenye uchungu sana. Lakini alipoionja, akakataa kuikunywa.
Waaskari vilevile walimuzarau, wakamupelekea divai yenye kuchacha
Kwa maana ninawaambia kwamba tangia sasa sitakunywa tena divai mpaka Ufalme wa Mungu utakapokuja.”
Kweli ninawaambia: Tangia sasa sitakunywa tena divai mpaka siku ile nitakapoikunywa kwa upya katika Ufalme wa Mungu.”
Nao wanafunzi wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza, wakatayarisha karamu ya Pasaka.
Matusi yamevunja moyo wangu, nami nimekata tamaa. Nimetafuta kitulizo lakini sikupata, nimetafuta wa kunifariji lakini sikumupata.