Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Wakamupa divai iliyochanganywa na manemane, lakini akaikataa.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:23
7 Referans Kwoze  

wakamupa Yesu divai iliyochanganywa na kinywaji chenye uchungu sana. Lakini alipoionja, akakataa kuikunywa.


Waaskari vilevile walimuzarau, wakamupelekea divai yenye kuchacha


Kwa maana ninawaambia kwamba tangia sasa sitakunywa tena divai mpaka Ufalme wa Mungu utakapokuja.”


Kweli ninawaambia: Tangia sasa sitakunywa tena divai mpaka siku ile nitakapoikunywa kwa upya katika Ufalme wa Mungu.”


Nao wanafunzi wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza, wakatayarisha karamu ya Pasaka.


Matusi yamevunja moyo wangu, nami nimekata tamaa. Nimetafuta kitulizo lakini sikupata, nimetafuta wa kunifariji lakini sikumupata.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite