Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Walipokwisha kumuchekelea, wakamuvua ile nguo nyekundu na kumuvalisha nguo zake. Kisha wakaondoka naye inje kwa kwenda kumutundika juu ya musalaba.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:20
4 Referans Kwoze  

Halafu Pilato akamutoa Yesu kwao, kusudi atundikwe juu ya musalaba. Basi wakamukamata Yesu.


Walipokwisha kumuchekelea, wakamuvua ile kanzu na kumuvalisha nguo zake. Kisha wakaondoka naye kwenda kumutundika juu ya musalaba.


Wakamupigapiga tete juu ya kichwa, wakamutemea mate, wakapiga magoti na kuinama mbele yake.


Mutu mumoja wa Kurene, aliyeitwa Simoni, baba ya Alesanduro na Rufu, alikuwa akipita katika njia, akitoka kwenye vijiji. Waaskari wakamushurutisha abebe musalaba wa Yesu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite