Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Wakamuvalisha Yesu nguo nyekundu, na wakasokota taji na tawi lenye miiba na kumuvalisha nalo juu ya kichwa.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:17
5 Referans Kwoze  

Basi Herode na waaskari wake wakamuchekelea Yesu na kumuzarau. Wakamuvalisha nguo zinazokuwa sawa za mufalme na kumurudisha kwa Pilato.


Waaskari wakamupeleka Yesu ndani ya upango wa nyumba ya liwali, nao wakaita kundi lao lote wakusanyike.


Kisha wakaanza kumusalimia, wakisema: “Jambo, Mufalme wa Wayuda!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite