Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 15:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.

Gade chapit la Kopi




Marko 15:15
17 Referans Kwoze  

Halafu Pilato akaamuru wamukamate Yesu na kumupiga fimbo.


Basi Pilato akawafungulia Baraba, lakini akaamuru wamupige Yesu fimbo na kumutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.


Wale walionipiga, niliwaelekezea mugongo wangu, wale walioziongoa ndevu zangu, mashavu yangu. Sikuficha uso wangu wakati watu waliponitukana na kunitemea mate.


Nao watamuchekelea, watamutemea mate, watamupiga fimbo na kumwua. Lakini kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.”


Kuogopa watu ni kujitega mwenyewe, lakini anayemutumainia Yawe yuko salama.


Walinikata vidonda katika mugongo, kama wanavyolima matuta katika shamba.


Kristo yeye mwenyewe alibeba mizigo ya zambi zetu ndani ya mwili wake alipoteswa juu ya musalaba, kusudi tupate kuachana na zambi kabisa na kuishi maisha ya haki. Kwa ajili ya mapigo yake ninyi muliponyeshwa.


Halafu Pilato akamutoa Yesu kwao, kusudi atundikwe juu ya musalaba. Basi wakamukamata Yesu.


Wema wako unaenea hata juu katika mbingu, uaminifu wako unafika hata katika mawingu.


Sikumwona mutu mwingine isipokuwa tu Yakobo, ndugu ya Bwana.


Festo aliyetaka kujipendekeza kwa Wayuda, akamwuliza Paulo: “Unataka niende kukusambishia maneno haya kule Yerusalema?”


Kulipopita miaka miwili, Porkio Festo akamukomboa Feliki kama liwali. Na kwa sababu Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayuda, akamwacha Paulo katika kifungo.


Watamupiga fimbo na kisha watamwua. Lakini kwa siku ya tatu kisha kufa kwake atafufuka!”


na kumutoa katika mikono ya watu wa mataifa mengine. Nao watamuchekelea, watamupiga fimbo na kumutundika juu ya musalaba. Lakini kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.”


Pilato akawauliza: “Alifanya ubaya gani?” Lakini wakazidi kupiga kelele wakisema: “Atundikwe juu ya musalaba!”


Basi nitaamuru apigwe fimbo, na kisha nitamufungua.” [


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite