Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:69 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

69 Yule mutumishi mwanamuke akamwona pale, akaanza tena kuwaambia wale waliokuwa pale: “Huyu mutu ni mumoja wao!”

Gade chapit la Kopi




Marko 14:69
7 Referans Kwoze  

Wandugu zangu, kama mutu akipatikana na kosa fulani, ninyi munaoongozwa na Roho wa Mungu mumwonye mutu yule kwa roho ya upole. Na kila mumoja wenu ajiangalie mwenyewe, kusudi asijaribiwe vilevile.


Wakati ule Simoni Petro alikuwa angali pale akiota moto. Basi wakamwuliza: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akakana, akisema: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”


Yule mwanamuke akamwambia Petro: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akamujibu: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”


Nyuma kidogo mutu mwingine akamwona, na akasema: “Wewe vilevile ni mumoja wao!” Lakini Petro akamujibu mutu yule: “Mimi si mumoja wao.”


Mukeshe na kuomba, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”


Lakini Petro akakana, akisema: “Sijui wala sifahamu maneno unayotaka kusema.” Kisha akatoka inje ya upango na kwenda kwenye kiingilio cha mulango. [Jogoo akawika.]


Lakini Petro akakana tena. Nyuma kidogo, watu wale wakamwambia Petro tena: “Hakika wewe ni mumoja wao, kwa sababu wewe vilevile ni wa Galilaya.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite