Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:68 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

68 Lakini Petro akakana, akisema: “Sijui wala sifahamu maneno unayotaka kusema.” Kisha akatoka inje ya upango na kwenda kwenye kiingilio cha mulango. [Jogoo akawika.]

Gade chapit la Kopi




Marko 14:68
8 Referans Kwoze  

Mara moja jogoo akawika kwa mara ya pili, na Petro akakumbuka maneno yale Yesu aliyomwambia kwamba mbele jogoo hajawika mara mbili, atakuwa amemukana mara tatu. Basi akaanza kulia.


Petro akamufuata Yesu kwa mbali, hata akaingia ndani ya upango wa nyumba ya Kuhani Mukubwa. Pale akaikaa pamoja na walinzi, akiota moto.


Yule mutumishi mwanamuke akamwona pale, akaanza tena kuwaambia wale waliokuwa pale: “Huyu mutu ni mumoja wao!”


Lakini Petro akakana tena. Nyuma kidogo, watu wale wakamwambia Petro tena: “Hakika wewe ni mumoja wao, kwa sababu wewe vilevile ni wa Galilaya.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite