56 Watu wengi walimushuhudia uongo, lakini ushuhuda wao haukupatana.
Wakubwa wa makuhani na wakubwa wote wa Baraza Kubwa walitafuta mashitaki juu ya Yesu kusudi wapate kumwua, lakini hawakupata neno.
Hata wengine wakasimama kwa kutoa ushuhuda huu wa uongo juu yake wakisema:
Wale watenda maovu wawili wakaikaa kwa kumushuhudia Naboti, kisha wakamushitaki mbele ya watu wote wakisema: “Naboti amemutukana Mungu na mufalme.” Basi, Naboti akapelekwa inje ya muji, akauawa kwa kutupiwa mawe.
Roho, maji na damu, nao watatu wanapatana kwa ushuhuda mumoja.