Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia.

Gade chapit la Kopi




Marko 14:50
11 Referans Kwoze  

Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ninyi wote mutaanguka, kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nitamwua muchungaji, na kondoo watasambazwa.’


Kutakuwa wakati, nao umetimia, ndio wakati mutakaposambazwa, kila mutu akijiendea ngambo yake mwenyewe, nanyi mutaniacha peke yangu. Lakini mimi si peke yangu kabisa, kwa sababu Baba yuko pamoja nami.


Nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna hata mutu mumoja aliyenisaidia; wote waliniachilia. Mungu asiwahesabie makosa yao!


Yananizunguka kama mafuriko muchana kutwa; yananizunguka yote pamoja.


Moyo wangu unapigapiga, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.


Yesu akajibu: “Nimekwisha kuwaambia kwamba ni mimi. Basi ikiwa ni mimi munayemutafuta, muwaache hawa wanaokuwa nami wajiendee.”


Kweli, nimekamua mizabibu peke yangu, wala hakuna mutu aliyekuja kunisaidia. Nimeyakanyaga mataifa kwa hasira yangu, niliyapondaponda kwa kasirani yangu. Nguo zangu zimejaa madoa ya damu yao, imechafua kabisa nguo yangu.


Siku zote nilikuwa pamoja nanyi, nami nilifundisha ndani ya hekalu, nanyi hamukunikamata. Lakini mambo haya yamefanyika kusudi Maandiko Matakatifu yatimizwe.”


Lakini kijana mumoja aliyevaa shuka akaendelea kumufuata Yesu. Walijaribu kumukamata,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite