Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

46 Basi wale watu wakamukamata Yesu na kumufunga.

Gade chapit la Kopi




Marko 14:46
6 Referans Kwoze  

Mutu huyu alitolewa kwenu kufuatana na mupango uliokusudiwa na kujulikana na Mungu tangu zamani. Nanyi mulimwua, kwa kumutia katika mikono ya wenye zambi wamutundike juu ya musalaba.


Basi lile kundi la waaskari na mukubwa wao pamoja na wale walinzi wa wakubwa wa Wayuda wakamukamata Yesu na kumufunga.


Walimunasa yule ambaye maisha yetu yalimutegemea, yule mufalme aliyechaguliwa na Yawe yule ambaye tulisema juu yake: Chini ya ulinzi wake tutaishi kati ya mataifa.


Wafilistini wakamukamata, wakamwongoa macho, wakamupeleka Gaza, wakamufunga kwa minyororo ya shaba, na kumulazimisha kufanya kazi ya kusaga unga kule katika kifungo.


Yuda alipofika, mara moja akamujongelea Yesu na kumwambia: “Mwalimu!” Kisha akamubusu.


Lakini mumoja kati ya wale waliokuwa pale, akachomoa upanga wake na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite