Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Mara tena akawaacha, akaomba akirudilia maneno yale yale.

Gade chapit la Kopi




Marko 14:39
7 Referans Kwoze  

Nami nilimusihi Bwana mara tatu kusudi aniondolee kitu kile.


“Tena munapoomba, musitumie maneno mengi yasiokuwa na maana kama vile wapagani wanavyofanya, kwa sababu wanawaza kama Mungu atawasikia kama wakisema maneno mengi.


Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu kwa kuwaonyesha kwamba wanapaswa kuomba siku zote pasipo kuchoka.


Mukeshe na kuomba, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”


Aliporudi tena, akawakuta wanafunzi wale wamelala usingizi, kwa maana macho yao yalikuwa yamewezwa sana na usingizi. Nao hawakujua wamujibu nini.


Wakati Yesu alipoishi katika dunia, aliomba na kusihi kwa malalamiko makubwa pamoja na kutoa machozi kwa Mungu ambaye angeweza kumwokoa toka katika kifo. Mungu alimusikia Yesu kwa sababu yeye alimuheshimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite