Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Aliporudi akawakuta wamelala usingizi. Akamwambia Petro: “Simoni, umelala? Haukuweza kukesha hata kwa saa moja tu?

Gade chapit la Kopi




Marko 14:37
13 Referans Kwoze  

Kisha akarudi pahali pale alipowaacha wale wanafunzi, akawakuta wamelala usingizi. Akamwambia Petro: “Hamukuweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja tu?


Kwa hiyo mumukumbuke yule aliyevumilia kutendewa na wenye zambi kwa chuki kubwa, kusudi musipate kuchoka wala kuregea.


Na kwa kuona bwana-arusi alikawia kufika, wote wakasinzia na kulala usingizi.


Abusaloma akamwuliza Husayi: “Huu ndio uaminifu wako kwa rafiki yako Daudi? Mbona haukuenda pamoja na rafiki yako?”


Yawe akaniambia: Ikiwa umekimbia pamoja na wenye kukimbia kwa miguu, nao wamekuchokesha, basi, namna gani utaweza kushindana na farasi? Kama unaanguka katika inchi isiyokuwa na vizuizi, utafanya nini katika pori la Yordani?


Kapiteni wa mashua akamwendea, akamwambia: Namna gani wewe unaweza kulala? Amuka umwombe Mungu wako; labda Mungu wako atatuhurumia na kuyaokoa maisha yetu.


Akasema: “Ee baba! Yote yanawezekana kwako; ninakuomba uniondolee mbali hiki kikombe cha mateso. Lakini isikuwe kama vile mimi ninavyotaka, lakini kama vile wewe unavyotaka.”


Mukeshe na kuomba, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite