Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kisha akatwaa kikombe, akakibariki na kuwapa, nao wote wakakikunywa.

Gade chapit la Kopi




Marko 14:23
6 Referans Kwoze  

Walipokuwa wakikula, akatwaa mukate, akaubariki, kisha akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema: “Mutwae, huu ni mwili wangu.”


Kisha akatwaa kikombe, akakibariki na kuwapa, akisema: “Mukunywe ninyi wote,


tunapokunywa kikombe ambacho kwa ajili yake tunamutolea Mungu shukrani, basi kwa njia ya kikombe kile hatuungani na damu ya Kristo? Nasi tunapomega mukate na kuukula, kwa njia hiyo, mukate ule hautuungi na mwili wa Kristo?


Mutu yeyote anayeshugulika juu ya siku fulani, anafanya hivi kwa kumutukuza Bwana. Yule anayekula kila chakula, anafanya vile kwa kumutukuza Bwana; maana anamushukuru Mungu kwa ajili ya chakula chake. Na asiyekula kila chakula anafanya hivi vilevile kwa kumutukuza Bwana na kumushukuru Mungu.


Kisha Yesu akatwaa kikombe, akakibariki na kusema: “Mutwae kikombe hiki na mukigawanye kati yenu.


Na Yesu akawaambia: “Hii ni damu yangu; damu inayomwangika kwa ajili ya watu wengi kwa kuhakikisha agano la Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite