Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 14:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Ilipokuwa magaribi, Yesu akafika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Gade chapit la Kopi




Marko 14:17
7 Referans Kwoze  

Saa ilipotimia, Yesu akaikaa kula chakula pamoja na wanafunzi wake.


Halafu wanafunzi wakaondoka, wakaenda katika muji, wakakuta vitu vyote tayari sawa vile Yesu alivyowaambia. Nao wakatayarisha karamu ya Pasaka.


Walipokuwa wameikaa kula chakula, Yesu akasema: “Kweli ninawaambia: mumoja kati yenu anayekula pamoja nami atanitoa.”


“Sisemi juu ya ninyi wote; ninawajua wale niliowachagua. Lakini inafaa maneno haya yanayosemwa na Maandiko Matakatifu yatimie: ‘Yule aliyechangia chakula nami, amenigeuka.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite