Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 13:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Mambo ninayowaambia ninyi, ninayasema kwa wote: mukeshe.”

Gade chapit la Kopi




Marko 13:37
5 Referans Kwoze  

Mujiangalie, mukeshe, kwa maana hamujui saa wakati ule utakapotimia.


Basi muangalie sababu hamujui wakati bwana wa nyumba atakaporudi: labda magaribi, au katikati ya usiku, au wakati jogoo anapowika, au asubui.


Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku Bwana wenu atakaporudi.


Mufanye vile, maana munajua tunaishi katika siku gani sasa. Saa ya kuamuka katika usingizi wenu imetimia, kwa maana sasa wakati wetu wa kuokolewa unakaribia kuliko vile ilivyokuwa wakati tulipoanza kuamini.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite