Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 13:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Mujiangalie, asikuje kwa rafla na kuwakuta mumelala usingizi.

Gade chapit la Kopi




Marko 13:36
14 Referans Kwoze  

Aliporudi tena, akawakuta wanafunzi wale wamelala usingizi, kwa maana macho yao yalikuwa yamewezwa sana na usingizi. Nao hawakujua wamujibu nini.


“Mujilinde vizuri, kusudi musilemewe na kutafuta kula ulafi, kulewa na kusumbukia maisha. Kama si vile, Siku ile ya kurudia kwa Kristo itawafikia kwa rafla


Na kwa kuona bwana-arusi alikawia kufika, wote wakasinzia na kulala usingizi.


Aliporudi akawakuta wamelala usingizi. Akamwambia Petro: “Simoni, umelala? Haukuweza kukesha hata kwa saa moja tu?


Maana walinzi wa Israeli wote ni vipofu; wote hawana akili yoyote. Wote ni kama imbwa bubu wasioweza kufoka, wanalala tu na kuota ndoto, wanapenda sana kusinzia!


Kwa maana yote yanayoonekana wazi yanageuka mwangaza. Ni kwa hiyo inasemwa hivi: “Amuka wewe unayelala! Ufufuke kutoka kati ya wafu, naye Kristo atakuangazia.”


Kisha kuomba, alirudia pahali alipoacha wanafunzi wake, akawakuta wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni.


Nililala usingizi, lakini moyo wangu ulikesha. Nikasikia mupenzi wangu akipiga hodi. Unifungulie dada, ee mupenzi wangu, muchumba wangu, njiwa yangu, usiyekuwa na kilema chochote. Kichwa changu kimelowana na umande na nywele zangu na manyunyu ya usiku.


Usiku nikiwa kwenye kitanda changu, nilimutafuta yule ninayemupenda. Nilimutafuta, lakini sikumupata.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite