Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 13:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Basi muangalie sababu hamujui wakati bwana wa nyumba atakaporudi: labda magaribi, au katikati ya usiku, au wakati jogoo anapowika, au asubui.

Gade chapit la Kopi




Marko 13:35
8 Referans Kwoze  

Mujiangalie, mukeshe, kwa maana hamujui saa wakati ule utakapotimia.


Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku Bwana wenu atakaporudi.


Kwa hiyo, ninyi vilevile mukuwe tayari, kwa sababu Mwana wa Mutu atarudi saa musiyozania.


Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”


Aliwaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kuendesha chombo sababu upepo ulikuwa ukiwarudisha nyuma. Basi ilipokuwa karibu na mapambazuko, Yesu akawafikia akitembea juu ya maji, akitaka kuwapita.


Ilipokuwa karibu na mapambazuko, Yesu akawafikia wanafunzi wake, akitembea juu ya maji.


Munajua vema kwamba mwenye nyumba angalijua wakati gani mwizi atakapokuja kuiba, angalikesha na kuchunga nyumba yake isibomolewe.


Mambo ninayowaambia ninyi, ninayasema kwa wote: mukeshe.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite