Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Kweli ninawaambia: hiki kizazi chenu hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo haya yote.

Gade chapit la Kopi




Marko 13:30
7 Referans Kwoze  

Maana kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo hayo yote.


“Kweli ninawaambia: hiki kizazi hakitapita mbele ya kutimia kwa mambo yote.


Na Yesu akaongeza kusema: “Kweli ninawaambia: wamoja kati ya watu wanaokuwa hapa hawatakufa mbele hawajaona Ufalme wa Mungu ukikuja kwa uwezo.”


Kweli ninawaambia: watu wa kizazi hiki watabeba lazima ya mambo hayo yote.


Kweli ninawaambia: wamoja kati ya watu wanaokuwa hapa hawatakufa mbele hawajamwona Mwana wa Mutu akikuja katika Ufalme wake.”


Vilevile, wakati mutakapoona mambo hayo niliyotoka kutaja yanatokea, mujue kwamba yeye yuko karibu, na amekuwa kwa mulango.


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite