Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 13:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 “Kwa hiyo mutu akiwaambia: ‘Kristo yuko hapa!’ au ‘Yuko kule!’ musimusadiki.

Gade chapit la Kopi




Marko 13:21
8 Referans Kwoze  

Yesu akawajibu: “Muangalie vizuri, musidanganywe. Watu wengi watakuja wakijiita kwa jina langu, wakisema kwamba wao ndio Kristo, nao wakati umetimia. Ingawa vile, musiwafuate.


Watu wengi watakuja wakijiita kwa jina langu, wakisema: ‘Mimi ni Kristo!’ Nao watawadanganya wengi.


Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamutaki kunipokea. Lakini ikiwa mwingine anakuja kwa jina lake mwenyewe, ninyi mutamupokea.


Na kama Bwana asingepunguza siku zile za mateso, hakuna hata mutu mumoja ambaye angeponyoka kufa. Lakini kwa ajili ya wachaguliwa aliowachagua amezipunguza.


Kwa maana kutatokea watu wanaojiita kwa uongo ‘Kristo’ pamoja na manabii wa uongo, nao watafanya vitambulisho na maajabu, kusudi ikiwezekana wawadanganye wachaguliwa wa Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite