Marko 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Basi wakamukamata yule mwana, wakamwua na kutupa maiti yake inje ya shamba.” Gade chapit la |
“Musikilize mufano mwingine. Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha upango, akatengeneza nafasi ya kukamulia matunda ya mizabibu na kujenga munara kwa ajili ya walinzi wa shamba. Kisha kupatana kwa kugawanyana mavuno na walimaji wamoja watakaobaki wakitunza shamba lake, akaenda safari katika inchi ingine.