Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 12:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Basi wakamukamata yule mwana, wakamwua na kutupa maiti yake inje ya shamba.”

Gade chapit la Kopi




Marko 12:8
6 Referans Kwoze  

Halafu wakamukamata wakamwua na kutupa maiti yake inje ya shamba.” Kisha Yesu akauliza: “Basi yule mwenye shamba atawatendea walimaji wale namna gani?


Basi wakamukamata, wakamwua na kutupa maiti yake inje ya shamba.”


“Musikilize mufano mwingine. Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha upango, akatengeneza nafasi ya kukamulia matunda ya mizabibu na kujenga munara kwa ajili ya walinzi wa shamba. Kisha kupatana kwa kugawanyana mavuno na walimaji wamoja watakaobaki wakitunza shamba lake, akaenda safari katika inchi ingine.


Lakini wale walimaji walipomwona akikuja, wakasemezana: ‘Musimame! Huyu ndiye atakayerizi shamba hili. Basi tumwue, na shamba hili litakuwa urizi wetu!’


Kisha Yesu akauliza: “Basi yule mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Yeye atakuja na kuwaua wale walimaji. Na kisha atawapatia walimaji wengine shamba lile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite