Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 12:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Yesu akaikaa akielekea kwenye sanduku ya kutilia sadaka za hekalu. Akaangalia jinsi watu walivyotia feza ndani ya sanduku ile. Watajiri wengi walitia feza nyingi ndani yake.

Gade chapit la Kopi




Marko 12:41
5 Referans Kwoze  

Makuhani wakakubali wasipokee feza tena kutoka kwa watu. Vilevile hawakukuwa na madaraka ya kutengeneza nyumba ya Yawe.


Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika hekalu, kwenye sanduku za kuwekea matoleo. Hakuna mutu aliyemufunga, kwa sababu wakati wake ulikuwa haujatimia.


Wakubwa wa makuhani wakaokota zile feza na kusema: “Kufuatana na Sheria yetu hairuhusiwi kuweka feza kama hizi ndani ya sanduku ya hekalu kwa sababu feza hizi ni za damu.”


Na kukakuja mujane mumoja masikini, akatoa vikoroti viwili vidogo sana vinavyolingana na sengi mbili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite