Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 12:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Katika mafundisho yake aliwaambia: “Mujiepushe na walimu wa Sheria, wanaopenda kujitembeza wakivaa kanzu ndefu, na kusalimiwa kwa heshima kwenye nafasi ya makutano.

Gade chapit la Kopi




Marko 12:38
9 Referans Kwoze  

“Ole kwenu, ninyi Wafarisayo! Munapenda kuikaa katika viti vya mbele ndani ya nyumba ya kuabudia na kusalimiwa kwa heshima kwenye nafasi za makutano.


“Munapoomba, musikuwe kama wanafiki, kwa maana wanapenda kuomba wakisimama katika nyumba za kuabudia na pembeni ya barabara, kusudi wapate kujionyesha mbele ya watu. Kweli ninawaambia: wamekwisha kupata faida yao.


Yesu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano. Yeye akawaambia hivi katika mafundisho yake:


Mujilinde, kwa maana watu watawapeleka mbele ya tribinali kubwa nao watawapiga fimbo ndani ya nyumba zao za kuabudia.


Nimeandikia kanisa maneno machache lakini Diotrefe, anayependa kuwa musimamizi wao, anakataa kututii.


Wanapenda vilevile kuikaa katika viti vya mbele ndani ya nyumba za kuabudia na kwenye nafasi za heshima katika karamu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite