Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 12:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Na Yesu akaendelea kuwaambia: “Mungu si Mungu wa waliokufa, lakini ni Mungu wa wanaokuwa wazima. Hivi ninyi munadanganyika kabisa.”

Gade chapit la Kopi




Marko 12:27
9 Referans Kwoze  

Ni kwa sababu hii Kristo alikufa na kufufuka kusudi apate kuwa Bwana wa waliokufa na wa wanaokuwa wazima vilevile.


Ni sawa vile inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Nimekuweka kuwa babu wa mataifa mengi.” Abrahamu alimwamini Mungu, kwa hiyo yeye ni baba yetu mbele yake. Ni yeye Mungu anayewafufua wafu na kuamuru vitu visivyokuwa vipate kuwa.


Yesu akawajibu: “Mumedanganyika kwa sababu ya kutojua Maandiko Matakatifu wala uwezo wa Mungu.


Kwa sababu ile nilikasirikia kizazi chao, na kusema: Watu hao wanapotoka siku zote. Nao hawafuati njia zangu.


Mwana wangu, ukiacha kusikiliza mafundisho, mara moja utapotea mbali na maneno ya maarifa.


Yesu akawajibu: “Munadanganyika, kwa sababu ya kutojua Maandiko Matakatifu wala uwezo wa Mungu.


‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’ ” Yesu akaendelea kuwaambia: “Mungu si Mungu wa waliokufa, lakini ni Mungu wa wanaokuwa wazima.”


Yeye si Mungu wa wafu, lakini ni Mungu wa wanaokuwa wazima; maana mbele yake wote wanaishi.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite